Wednesday, 20 June 2012

MADA YA KIKAO TAREHE 23 JUNI

Mada ya kikao tarehe 23 juni

1. Ada ya chama. Kwa wale amabao hawajatimiza malipo. 30 minutes

2.utaratibu wa kusajili wanachama wapya. (katiba). 15 min. 

3. Mchango wa misiba wa ndugu (katiba). 15 minus

4. Account number na Standing Order. 15 min.


No comments:

Post a Comment