Saturday, 22 September 2012

MCHANGO WA CHAKULA

Asalaam Aleykum, nimeshatuma Account number kwaajili ya chakula kwa kila mwanachama, kwa wale wasiopata nijulisheni, naomba kila mwanachama achangie £15 Family na £10 single. Kuhusu Ada ya chama naomba kila mwanachama awe amemaliza Ada kabla ya kufika kwenye mkutano. Kuhusu Mada ya mkutano tutazungumzia kuhusu jinsi gani tutafanya kwa wale wanachama watakaoshindwa kutoa Ada, na kama mwanachama yoyote anayo MADA aseme ili tuweze kuijadili siku ya kikao. Ahsanteni

No comments:

Post a Comment