Friday, 29 June 2012

ADA YA CHAMA NA MADENI

Asalaam Aleykum, wanachama wote tunasisitiza kwa yeyote ataeweka pesa kwenye account aweke reference jina lake ili tuweze kujuwa ni nani ameweka hizo pesa. Na kwa wote wanaodaiwa ada ya mwaka jana, naomba wamalizie deni, mnaturudisha nyuma. Shukrani, Mweka hazina, Fathiya Said

No comments:

Post a Comment