SHADHILY SOCIETY

Tuesday, 2 October 2012

SHUKRANI

›
Kwa niaba ya Shadhily Society naomba kutoa Shukrani za dhati kwa Hannat na Yusuph Family kwa kuwezesha kufanyika kikao chetu, kama kuna jamb...
Saturday, 22 September 2012

MAJINA YA KHITMA

›
Asalaam Aleykum, naomba kila mwanachama aandike majina kwaajili ya kusoma Khitma. Ahsanteni

ADDRESS YA KIKAO

›
Asalaam Aleykum, kikao chetu kitafanyika tarehe 29/09/12, saa nane mchana, address 79 Roxwell road, Barking, Essex, IG11 0PS. Ahsanteni

MCHANGO WA CHAKULA

›
Asalaam Aleykum, nimeshatuma Account number kwaajili ya chakula kwa kila mwanachama, kwa wale wasiopata nijulisheni, naomba kila mwanachama ...

MADA YA KWENYE KIKAO

›
Asalaam Aleykum, Naomba wanachama wote mchangie MADA ambayo mnataka izungumzwe kwenye mkutano na pia kuhusu marekebisho ya KATIBA manataka k...
Saturday, 21 July 2012

DUA - MILTON KEYNES

›
Tutakuwa na mawaidha jumamosi tarehe 28 halafu tutakuftari sote hapa Milton Keynes, karibuni sana waislam wote,  Yanaanza saa 10 jioni ni nd...

RAMADHAAN MUBARAK

›
Asalaam Aleykum, nawatakieni Ramadhaan Kareem ndugu zangu, naomba Mola awawezeshe mfunge Ramadhaaan kwa salama, naomba Mola awawezeshe muima...
›
Home
View web version

About Me

SHADHILY
View my complete profile
Powered by Blogger.