Tuesday, 26 June 2012

SHUKRANI

ASALAM ALEYKUM Ndungu zangu.Mimi na family yangu tunatanguliza shukurani zetu zadhati kutupa nafasi ya kuwakaribisha kuwa pamoja. Na tunaomba radhi kama kulikuwa na upungufu wowote uliojitokeza. Ahsanteni sana, Bw. Zubery na family yake

No comments:

Post a Comment