Saturday, 21 July 2012

DUA - MILTON KEYNES

Tutakuwa na mawaidha jumamosi tarehe 28 halafu tutakuftari sote hapa Milton Keynes, karibuni sana waislam wote, Yanaanza saa 10 jioni ni ndugu zetu wale wa London Arbil wa Taquwa wale ambao walikuwepo kwangu na dufu kama mnawakumbuka. Mwenyekiti Msaidizi, Ibrahim Salim

No comments:

Post a Comment