Tuesday, 2 October 2012

SHUKRANI

Kwa niaba ya Shadhily Society naomba kutoa Shukrani za dhati kwa Hannat na Yusuph Family kwa kuwezesha kufanyika kikao chetu, kama kuna jambo tumewakosea tunaomba mtusamehe.. Ahsanteni

Saturday, 22 September 2012

MAJINA YA KHITMA

Asalaam Aleykum, naomba kila mwanachama aandike majina kwaajili ya kusoma Khitma. Ahsanteni

ADDRESS YA KIKAO

Asalaam Aleykum, kikao chetu kitafanyika tarehe 29/09/12, saa nane mchana, address 79 Roxwell road, Barking, Essex, IG11 0PS. Ahsanteni

MCHANGO WA CHAKULA

Asalaam Aleykum, nimeshatuma Account number kwaajili ya chakula kwa kila mwanachama, kwa wale wasiopata nijulisheni, naomba kila mwanachama achangie £15 Family na £10 single. Kuhusu Ada ya chama naomba kila mwanachama awe amemaliza Ada kabla ya kufika kwenye mkutano. Kuhusu Mada ya mkutano tutazungumzia kuhusu jinsi gani tutafanya kwa wale wanachama watakaoshindwa kutoa Ada, na kama mwanachama yoyote anayo MADA aseme ili tuweze kuijadili siku ya kikao. Ahsanteni

MADA YA KWENYE KIKAO

Asalaam Aleykum, Naomba wanachama wote mchangie MADA ambayo mnataka izungumzwe kwenye mkutano na pia kuhusu marekebisho ya KATIBA manataka kipengele gani kiangaliwe ama kibadilishe. naomba maoni yenu kabla ya mkutano. Ahsanteni

Saturday, 21 July 2012

DUA - MILTON KEYNES

Tutakuwa na mawaidha jumamosi tarehe 28 halafu tutakuftari sote hapa Milton Keynes, karibuni sana waislam wote, Yanaanza saa 10 jioni ni ndugu zetu wale wa London Arbil wa Taquwa wale ambao walikuwepo kwangu na dufu kama mnawakumbuka. Mwenyekiti Msaidizi, Ibrahim Salim

RAMADHAAN MUBARAK

Asalaam Aleykum, nawatakieni Ramadhaan Kareem ndugu zangu, naomba Mola awawezeshe mfunge Ramadhaaan kwa salama, naomba Mola awawezeshe muimalize Ramadhaan kwa salama, naomba Mola wakubalieni dua zenu na naomba Mola awasemehini makosa yenu, Ameen