Saturday, 23 June 2012

MKUTANO

Ahsanteni sana wanachama wote mliojitokeza kuja kwenye mkutano, kwa niaba ya Shadhily tunawashukuru Zubbery Qambertato'g na Mwanaana Zubbery Aboubakary kwa kutualika na kutukarimu. Mkutano ujao utafanyika Slough, tarehe 29 September 2012. Ahsante Fatouma Abdulsamad kwa kutualika. Vilevile tunawakaribishe wanachama watatu wapya, Fatma Abdulsamad, Mariamu Manding'o na Swada Karanda. Karibuni Shadhily, Katibu

No comments:

Post a Comment