SHADHILY SOCIETY
Saturday, 22 September 2012
MADA YA KWENYE KIKAO
Asalaam Aleykum, Naomba wanachama wote mchangie MADA ambayo mnataka izungumzwe kwenye mkutano na pia kuhusu marekebisho ya KATIBA manataka kipengele gani kiangaliwe ama kibadilishe. naomba maoni yenu kabla ya mkutano. Ahsanteni
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
View mobile version
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment