Saturday, 22 September 2012

MADA YA KWENYE KIKAO

Asalaam Aleykum, Naomba wanachama wote mchangie MADA ambayo mnataka izungumzwe kwenye mkutano na pia kuhusu marekebisho ya KATIBA manataka kipengele gani kiangaliwe ama kibadilishe. naomba maoni yenu kabla ya mkutano. Ahsanteni

No comments:

Post a Comment