Asalaam Aleykum, Kuhusu mchango wa marehemu bibi yake Aziza Said. Tunaomba wanachama wote wajitolee kumchangia mfiwa ili aweze kupeleka chochote nyumbani ama kufanya hitma. Kama mnavyojua mfuko wetu hauwezi kumsaidia ila wanachama wanaombwa kumchangia chochote walichonacho. Kwa maelezo zaidi jinsi ya kutuma pesa wasiliana na Mwenyekiti Said Mchanjama. Ahsanteni. Katibu
InshaAllah
ReplyDeleteinshallah
ReplyDelete